June 13, 2026

2 thoughts on “Utafiti wa Dk.Luchemba unavyokwenda kuokoa mazingira na kuondosha ombwe la chakula cha mifugo na mbolea

  1. Huu utafiti WA Dr. Lukas Una faida za kiuchumi, kimazingira na kijamii. Anatakiwa kuwezeshwa au kutumiwa vyema na halmashauri na wizara ili afanye kwa mawanda mapana kufaidisha jamii.

  2. Nimefurahi sana kuona Classmate wangu anavyo itumia taaluma kusafisha Mazingira kwa manufaa ya Taifa (afya, uchumi na elimu endelevu)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *